Uncategorized

YANGA: MSIMU UJAO MAMBO NI MOTO

admin July 23, 2019 4:33 am


UONGOZI wa Yanga umesema kuwa maandalizi ya timu yanazidi kupamba moto kwa ajili ya msimu ujao.

Yanga imeweka kambi mkoani Morogoro ikijipanga kwa ajili ya msimu ujao ambao unatarajiwa kuanza Agosti 23.

Hafidhi Saleh mratibu wa Yanga amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa ni suala la kusubiri wakati wa ligi kuanza.

“Kwa sasa maandalizi yanakwenda vizuri mwalimu Noel Mwandila anawaandaa vijana kwa kutumia programu ya Kocha Mkuu Mwinyi Zahera nina imani msimu ujao tutafanya vizuri kwenye ligi na michuano ya kimataifa,” amesema.

NYOTA SABA WA SIMBA KUCHOMOKA LEO KAMBINI DAVID DE GEA ANUKIA KUWA NAHODHA WA UNITED

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply