Uncategorized

LUKAKU AKISEPA TU UNITED HAWA HAPA KUVAA VIATU VYAKE

admin July 31, 2019 10:38 am

OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United hana shaka endapo dili la Romelu Lukaku kujiunga na Juventus litatimia kwa ajili ya msimu ujao.

Meneja huyo anajivunia uwepo wa nyota kama Marcus Rashford, Anthony Martial na kinda Mason Greenwood ambao anaamini ni mbadala sahihi wa Lukaku.

Pia anamtaka Dybala ndani ya kikosi chake kwa kuwa anaamini ana aina ya mtindo anaoupenda.

Maurizio Sarri, Meneja wa Juventus anahitaji kuwa na Lukaku ili ampe jezi namba 9, mshahara wake unatajwa kuwa pauni milioni 8.2 kwa wiki pamoja na bonasi.

TFF YATAJA KILICHOINYIMA USHINDI STARS MBELE YA KENYA MCHAKAMCHAKA WA AZAM FC KIMATAIFA NI MOTO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply