Uncategorized

GUNDOGAN ACHEKELEA KUBAKI NDANI YA MANCHESTER CITY

admin August 13, 2019 10:09 am


IIKAY Gundogan, kiungo mshambuliaji wa Manchester City bado yupo sana ndani ya kikosi hicho.

Gundogan ameongeza kandarasi ya kuitumikia klabu hiyo ambapo atadumu mpaka mwaka 2023.

Nyota huyo raia wa Ujerumani amekuwa chaguo la muda mrefu kwa Pep Guardiola licha ya kuwa hana umaarufu wa Soka la England. 


“Habari mashabiki nimesaini mkataba mpya wa miaka minne, najiona mwenye furaha kuendelea kuitumikia klabu hii,”.

MASTAA 6 WAPYA KUPINDUA MEZA YANGA YANGA YAPOKEA VIFAA VYA SOKA VYENYE THAMANI YA MILIONI TATU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply