Home Uncategorized KERR AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI

KERR AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI

110
0


Kocha wa zamani wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amefikwa na mama yake mzazi.

Kerr ameeleza kuwa mama yake alikuwa akiumwa kwa muda mrefu na ndicho kilichopelekea kifo chake.

Salehj] Jembe  blog inatoa pole kwa Kerr pamoja na familia yake kwa ujumla.