Uncategorized

MASHUJAA WAPANIA KUONYESHA USHUJAA WAKIPANDA LIGI

admin January 23, 2020 5:26 am

ATUNGO Manyundo, Kocha Mkuu wa Mashujaa FC ya Kigoma amesema kuwa wataonyesha ushujaa mkubwa endapo watapanda ligi kuu msimu ujao.

 Mashujaa FC ilionyesha ushujaa mbele ya Simba iliyokuwa chini ya Patrick Aussems kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho kwa kuitungua mabao 3-2 na kuiondoa jumla hatua za awali.
Akizungumza na Saleh Jembe, Manyundo alisema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakisuka kikosi makini ambacho kitawapa matokeo bora yatakayowapa nafasi ya kushiriki ligi.
“Kuna ushindani mkubwa Daraja la Kwanza kwa sasa nina amini tutaonyesha ushujaa tukipanda ligi kuu na huko tukipanda hatutabweteka tutaambana kupata matokeo mazuri,” alisema Manyundo.
NAMUNGO WAIPIGIA HESABU NDEFU MBAO FC AZAM FC BADO WANALITAKA KOMBE HILI LILILOPO MIKONONI MWAO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply