Uncategorized

JEMBE JIPYA YANGA LAREJEA

admin February 7, 2020 9:14 pm

Mshambuliaji wa Yanga, Tariq Self Kiakala, amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa yupo fiti na amepona kabisa majeraha yake.

Tariq aliumia mguu katika mchezo dhidi ya Biashara United uliochezwa mwishoni mwa mwaka jana katika Uwanja wa Taifa, Dar. Tangu hapo hajaonekana akicheza.

“Nashukuru Mungu nimepona majeraha yangu, niko fiti na nimeanza mazoezi na wachezaji wezangu kuhakikisha naendelea kuwa fiti katika kuitumikia timu yangu.

“Nitakuwa tayari kuisaidia timu yangu mwalimu akinipa nafasi, naamini kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele ndipo nitakapokuwa fiti zaidi,” alisema Tariq ambaye alijiunga na Yanga katika usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15, mwaka huu.
LUC AJA NA KITU KIPYA YANGA MATAMKO YA KOCHA YANGA JUU YA NIYONZIMA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply