Uncategorized

KOCHA ARSENAL AWASIFU WACHEZAJI WAKE ASEMA HAWAJAMUANGUSHA

admin March 3, 2020 7:19 am

ARSENAL imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la FA, England baada ya kushinda kwa mabao 2-0 mbele ya Portsmouth.

Mabao ya Arsenal iliyo chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta yalifungwa na Sokratis Papastathopoulos dakika ya 45+4 na lile la pili lilipachikwa na Eddie Nketiah dakika ya 51.

Arteta amesema kuwa wachezaji wake hawajamuangusha katika hilo anaamini watafanya vizuri hatua ya mbele.

“Wametumia nguvu nyingi katika kazi wamefanya kinachostahili naheshimu mchango wao na ninatambua kile walichokifanya, wanastahili na ninafurahi kufanya nao kazi,” amesema .

DAVI DE GEA ATAFUTIWA MBADALA WAKE YANGA YATAJA SABABU YA KUSHINDA LEO MBELE YA MBAO FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply