PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester Ciy amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa na moyo wa kutafuta mafanikio kila wawapo ndani ya uwanja.
Guardiola ameshinda taji la Kombe la Carabao kwa ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Aston Villa anakokipiga mtanzania Mbwana Samatta.
Guardiola amesema kuwa ametazama namna ushindani ulivyokuwa hakutarajia kuiona Aston Villa ikiwa imechangamka.
Kwenye mchezo huo Samatta aliweka rekodi ya kuitungua City ya Guardiola kwa kichwa kimoja matata kilichowashangaza wazungu.
Sign in
                            Welcome! Log into your account
                            
                            
                            
                            
                            Forgot your password? Get help
                            
                            
                        Password recovery
                            Recover your password
                            
                            
                            A password will be e-mailed to you.
                         
		
