Uncategorized

SIMBA YAIPA KASI YANGA SASA KESHO KUMALIZANA NA KMC

admin March 11, 2020 12:54 pm

LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa vijana wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaopigwa Uwanja wa Taifa dhidi ya KMC.

Yanga itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kushinda bao 1-0 mbele ya Simba lililofungwa na Bernard Morrison kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa Machi 8.

Eymael amesema:”Kila mchezaji yupo tayari na ari ni kubwa kuelekea mchezo wetu wa unaofuata ushindi mbele ya Simba umeongeza morali imani yetu wachezaji watafanya vema mashabiki watupe sapoti.”.

Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa msimu huu mbele ya KMC ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA SINGIDA UNITED, LUIS NDANI VPL; SIMBA 4-0 SINGIDA UNITED

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply