Uncategorized

HASHEEM IBWE AWAOMBA WATANZANIA WAENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

admin April 15, 2020 11:57 am

HASHEEM Ibwe, mwandishi wa Habari za Michezo kutoka kituo cha Azam TV amesema kuwa kwa kipindi hiki ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari kujilinda dhidi ya Virusi vya Corona.

Ibwe ambaye amekuwa akikonga nyoyo za mashabiki wa Azam TV kutokana na mbwembwe zake akiwa anatangaza mechi huku ile swaga yake kwenye mechi ya Simba dhidi ya Yanga,”Kagere anatetema, sio mimi ni mguu” ikiwa ni miongoni mwa maneno yanayopendwa kutumiwa na mashabiki wake.

Pia kwa upande wa Yanga, mechi yake aliyotangaza dhidi ya Ndanda FC ambapo alisema kuwa ‘Tafsiri halisi ya Take Two’ ilijizolea umaarufu mkubwa.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ibwe amesema kuwa:”Ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari dhidi ya Corona kwani kwa sasa hali bado haijawa shwari na ugonjwa upo,”.  

MTUPIAJI WA LIPULI HIKI NDICHO ANACHOKIFANYA KWA SASA THOMAS PARTEY KUIBUKIA ARSENAL MSIMU UJAO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply