Uncategorized

KIBAYA WA MTIBWA SUGAR ATAJA ATAKAPOKUWA MSIMU UJAO

admin May 10, 2020 11:29 am


JAFFARY Kibaya, mshambuliaji wa Mtibwa Sugar amesema kuwa ataendelea kubaki ndani ya klabu hiyo msimu ujao kutokana na kufurahia maisha anayoishi hapo alipo kwa sasa.

Imekuwa ikielezwa kuwa Simba na Yanga zinaiwinda saini ya mshambuliaji huyo mzawa anayefanya vizuri ndani ya uwanja.

Kibaya amesema:”Maisha yangu ndani ya Mtibwa Sugar ni mazuri na kila kitu ninachohitaji ninakipata hivyo sifikirii kusepa kwa sasa.”.

Mtibwa Sugar yenye ngome yake mkoani Morogoro ipo chini ya Kocha Mkuu Zuber Katwila ikiwa nafasi ya 14 kibindoni ina pointi 33.

CR 7 KARANTINI YAMUHUSU FUNDI HUYU WA CONGO KUTUA YANGA, NI YULE ALIYELETWA KININJA NA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply