Uncategorized

ZLATAN IBRAHIMOVIC AWINDWA NA MABOSI WA SWEDEN

admin May 16, 2020 4:28 am

ZLATAN Ibrahimovic staa anayekipiga ndani ya Klabu ya AC Milan amewekwa kwenye rada na Klabu ya Hammarby ya nchini Sweden ambayo inataka kumpata akimalizana na timu yake ya sasa.

Mkurugenzi wa Ufundi wa Klabu ya Hammaby amesema mpango wao ni kupata saini ya nyota huyo pindi akimalizana na AC Milan.

Mkataba wa Zlatan na mabosi wake wa AC Milan unameguka mwishoni mwa msimu huu kwani alisaini kandarasi ya miezi sita pekee jambo linalowapa matumaini mabosi hao kumpata.

Zlatan raia wa Sweden amecheza mechi 10 na kutupia mabao manne aliwahi kukipiga ndani ya Barcelona,  Manchester United,  Ajax, PSG na LA Galaxy.

MKE WA ICARD AKOLEZA MOTO MUMEWE KUIBUKIA ARSENAL DONALD NGOMA NI NGOMA NZITO NDANI YA AZAM FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply