Uncategorized

HAYA HAPA MABAO YA BERNARD MORRISON WA YANGA

admin May 21, 2020 7:17 am


BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga, alisajiliwa na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo mwezi Desemba mwaka jana, lakini hadi sasa ameshaifungia timu hiyo mabao manne.

Alianza tarehe 26/01/2020 katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Taifa.

Tarehe 05/02/2020 akaifunga Lipuli FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Taifa.

Tarehe 11/02/2020 akafunga tena dhidi ya Mbeya City mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Taifa.

Tarehe 08/03/2020 aliwatungua Simba bao moja kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.

MIRAJI ATHUMANI ATUMA UJUMBE HUU KWA MASHABIKI WAKE BIASHARA UNITED: LIGI IKIREJEA TUPO TAYARI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply