Uncategorized

HII HAPA MITAMBO MINGINE YA MABAO NDANI YA SIMBA

admin May 30, 2020 9:47 pm


SIMBA iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck, wachezaji wake wengi walikuwa wameanza kujenga ushkaji na nyavu kabla ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa kutokana na janga la Virusi vya Corona.

Hakukuwa na mechi ya ushindani ambayo ilichezwa tangu Machi 17 kutokana na janga la Virusi vya Corona ila kwa sasa kuna matumaini ya ligi kurejea kuanzia Juni 13.

Ikiwa imefunga mabao 63 kibindoni, miongoni mwa wachezaji wake wawili ambao ni viungo ni mitambo ya kutengeneza mabao ambapo wamehusika kwenye mabao 15.

Gerson Fraga ametupia mabao matatu huku mshikaji wake Deo Kanda akiwa ametupia mabao saba na kutengeneza pasi tano za mabao.

Simba ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi zake 71 kibindoni kwa sasa, kinara wa kucheka na nyavu ni Meddie Kagere mwenye mabao 19 na pasi tano za mabao.

BEKI WA NKANA FC, HASSAN KESSY ATAJA ATAKAPOKUWA IWAPO DILI LAKE LITABUMA NKANA AZAM FC IPO KAMILI GADOGADO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply