Uncategorized

HIVI NDIVYO WACHEZAJI YANGA WALIVYOMKOSESHA MKWASA LAKI MBILI NA TISINI

admin June 1, 2020 9:47 pm


MASTAA 29 wa Klabu ya Yanga ambao wameanza mazoezi hivi Mei 27 katika chuo cha Sheria walimnyima Kocha Msaidizi, Charlse Mkwasa kiasi cha sh.290,000,(laki mbili na elfu tisini)

Yanga imeanza mazoezi ya pamoja Mei 27 kwa ajili ya kujiweka sawa na mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe za Shirikisho.

Picha lipo namna hii, kabla ya kuanza mazoezi hivi karibuni, Mkwasa aliwaambia wachezaji wake kuwa yeyote atakayeangusha mojawapo ya vikwazo (Cone) atakatwa 10,000.

Jambo hilo liliwafanya wachezaji kupambana kufanya vema na licha ya kufanya zoezi hilo zaidi ya mara moja hakuna aliyedondosha kikwazo hicho.

Kwa hesabu hizo, wachezaji 29 walipambania sh.10,000 zao hivyo Mkwasa kushindwa kuambulia chochote.

MKATABA WALIOSAINI YANGA,GSM NA LA LIGA UPO NAMNA HII MBAPPE BWANA ALIWAHI KUOKOA PENALTI NJE YA 18

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply