Home Uncategorized VPL:MWADUI 0-1 YANGA

VPL:MWADUI 0-1 YANGA


Inaongezwa dakika moja

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara unaoendelea Uwanja wa Kambarage  kati ya Mwadui na Yanga, Yanga ipo mbele kwa bao 1-0.

Balama Mapinduzi amefunga bao hilo dakika ya sita.

Mashabiki wamejitokeza kwa wingi huku wakichukua tahadhari dhidi ya Corona

SOMA NA HII  USAJILI: MRITHI WA GADIEL MICHAEL YANGA MARCELO ASAINI MIAKA MITATU