Home Uncategorized YANGA KUTINGA NDANI YA BUNGE LEO ASUBUHI

YANGA KUTINGA NDANI YA BUNGE LEO ASUBUHI

KLABU ya Yanga iliyo chini ya Kocha Mkuu, Luc Eymael leo imealikwa ndani ya Bunge la Tanzania.

Taarifa ambayo imetolewa kupitia Ukurasa wao wa Istagram imeeleza kuwa :”Timu ya Wananchi kwa wawakilishi wa Wananchi. Saa 3:00 asubuhi leo Yanga ndani ya Bunge.”

SOMA NA HII  SINGIDA UNITED YACHAPWA MECHI 20 IKIWA NAFASI YA 20, BOBAN AIPUNGUZIA KASI