Uncategorized

MTIBWA SUGAR HAWATAKI UTANI,HESABU ZAO HIZI HAPA

admin June 17, 2020 12:47 pm


UONGOZI wa Mtibwa Sugar, umesema kuwa hesabu kubwa zilizo ndani ya kikosi hicho ni kuleta ushindani mkubwa kwenye mechi zilizobaki kwa kuwa wanaamini wana kikosi kizuri.

Mtibwa Sugar, iliyo chini ya Kocha Mkuu, Zuber Katwila ina kibarua cha kumenyana na Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuchezwa Juni 20.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa kikubwa ambacho wanachokitazama ni ushindi kwenye mechi zao zote zilizobaki.

“Hatupo sehemu nzuri kwa sasa ni muhimu kupambana na lengo ni kuona kwamba tunapata matokeo mazuri ili kujiwekea nafasi nzuri zaidi,” amesema.

SIMBA: WAJEDA WALITUZIDI KWENYE UIMARA, TUNASAHAU MATOKEO TUNAENDELEA KUPAMBANA VIDEO: NYONI AWATULIZA MASHABIKI,SARE YA RUVU SHOOTING HAIJAWAPOTEZA HESABU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply