Home Uncategorized RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO KUENDELEA NAMNA HII KWA TIMU KUSAKA...

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO KUENDELEA NAMNA HII KWA TIMU KUSAKA POINTI TATU

0


Ligi Kuu Bara leo inaendelea ambapo mechi zitakuwa namna hii kwenye viwanja tofauti:-  

Namungo v Tanzania Prisons, Uwanja wa Majaliwa.

Yanga v Mwadui FC, Uwanja wa Taifa.

Ndanda FC v Ndanda FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Ruvu Shooting v Singida United,  Uwanja wa Mabatini.