Uncategorized

WAPINZANI WA SIMBA WAWASILI, WAPOKELEWA KWA NYIMBO

admin December 4, 2020 1:47 pm


 TIMU ya Plateau United imewasili leo Desemba 4 ikitokea nchini Nigeria kwa ajili ya mchezo wa kesho wa marudio dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa Mkapa.


Mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni wa hatua ya awali unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa timu zote mbili zinasaka nafasi ya kusonga hatua ya mtoano ili kuweza kufikia hatua ya makundi.

Kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Nigeria, Novemba 29, Simba ilishinda kwa bao 1-0 ikiwa ugenini ina kibarua cha kulinda ushindi wake ikiwa nyumbani.

Plateau United ilipokelewa na mashabiki wake wa Tanzania ambao walikuwa wamevaa jezi za njano ambao waliwapokea kwa kuwaimbia nyimbo.
LWANDAMINA AANZA KUZIPIGIA HESABU SIMBA NA YANGA MTANZANIA ASEPA NA TUNZO ULAYA BAADA YA KUTUPIA MABAO MANNE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply