Uncategorized

IMEFICHUKA..NIYONZIMA AONGEZA MKATABA YANGA MIEZI SITA..!!

admin December 23, 2020 2:00 pm

 

Hersi Said amefichua Haruna Niyonzima aliongezewa mkataba wa miezi sita tu; “Ni maelekezo ya kocha, pia mkataba wake umemalizika huku Ligi ikiwa haijaisha ndio maana tumemuongezea mpaka mwisho wa msimu.

“Bado kuna nafasi ya kufanya mazungumzo baada ya mkataba huu kumalizika na hata yeye mwenyewe anajua na sisi tunaelewa hilo.”

Niyonzima tangu alivyokuja kocha Kaze hajawa chaguo la kwanza katika kikosi chake huku habari zikidai kwamba Kocha huyo amempa changamoto mchezaji huyo ili ajitume na kurejesha morali yake na kuisaidia Yanga kuelekea kwenye mbio za ubingwa.

Credit- Mwanaspoti

JESHI LA SIMBA V FC PLATINUM YANGA YAGAWA DOZI KWA IHEFU, YAINYOOSHA MABAO 3-0 NA KUSEPA NA POINTI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply