UWANJA wa Sokoine
Mbeya City 0-0 Yanga
Dakika ya 45+1 Chitembe anaonyeshwa kadi ya njano
Kipindi cha kwanza
Zinaongezwa dakika 2
Dakika 45 zinakamilika
Dakika ya 44 Mnata anaokoa hatari
Dakika ya 43 Fei Toto anapeleka mashambulizi
Dakika ya 41 Farid Mussa anachezewa faulo
Dakika ya 31 Kisinda anaotea
Dakika ya 30 Yanga wanapata kona
Dakika ya 29 Fiston anapiga shuti linampa juu
Dakika ya 26 nyota wa Mbeya City anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 25 Mbeya City wakiwa Kwenye umiliki mwamuzi anauliza kipyenga iwe fair play kwa kuwa kuna mchezaji alikuwa amechezewa faulo
Dakika ya 23 Nondo anachezewa faulo
Dakika ya 21 Tonombe anaanua majalo
Dakika ya 19 Fiston anatoa pasi inadhibitiwa
Dakika ya Lamine anapeleka kwa Fiston anapoteza
Dakika ya 17 Kunambi anamchezea faulo Tuisila
Dakika ya 15 Kunambi anamchezea faulo Sarpong
Dakika ya 13 Bakari anapiga faulo kwa Yanga
Dakika ya 11 Mbeya City wanapeleka mashambulizi Yanga
Dakika ya 9 Michael Sarpong anapiga shuti linakwenda nje ya lango
Dakika ya 2 Mbeya City wanapeleka mashambulizi Yanga