Dakika 41 Fiston Goal kwa kisigino
Dakika ya 39 Nasoro anacheza faulo
Dakika ya 36 Nchimbi na kipa wa Polisi Tanzania wanapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 34 Sabilo anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18 kwa pasi ya Nasoro
Dakika ya 30 Kisinda anachezewa faulo
Dakika ya 29 Mnata anaokoa hatari ndani ya 18
Dakika ya 28 Nchimbi anamchezea faulo kipa wa Polisi Tanzania
Dakika ya 25 Haruna Niyonzima anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18
Dakika ya 23 Nassoro anatoa nje mpira
Dakika ya 20 Yondani anaokoa hatari iliyojazwa ndani ya 18 na Kisinda wanapata Yanga kona mbili zinapigwa na Niyonzima hazileti matunda
Dakika ya 18 Fiston anachezewa faulo nje kidogo ya lango na Yondan
Dakika ya16 Yondani anaanua majalo
Dakika ya 13 Tonombe Mukoko anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 11 Saliboko anafanya jaribio ndani ya 18 linakwenda juu kidogo nje ya 18
Haruna Niyonzima ameanza leo, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Kwa sasa ni dakika ya 12
6, Polisi Tanzania 0-0 Yanga
Dakika ya 5 Niyonzima alifanya jaribio lilipaa juu ya lango akiwa ndani ya 18