Home Ligi Kuu RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO APRILI 22

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO APRILI 22

 


LEO Aprili 22 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo mechi mbili zitachezwa viwanja viwili tofauti.


Ihefu FC ya Zuber Katwila iliyo na pointi 24 nafasi ya 17 itamenyana na Tanzania Prisons iliyo nafasi ha 9 na pointi 34.

Mechi hii itachezwa Uwanja wa Hoghlands, Mbeya.

Dodoma Jiji ya Mbwana Makata iliyo nafasi ya 7 itamenyana na  Azam FC ya George Lwandamina iliyo nafasi ya tatu na pointi 50.

Mechi hii itapigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

SOMA NA HII  AZAM FC HAINA KUPOA...TIZI MWANZO MWISHO