KIUNGO wa Klabu ya Yanga, Mukoko Tonombe ambaye amekuwa akitajwa kuingia kwenye rada za Klabu ya Kaizer Chiefs amesema kuwa kwa sasa hajui jambo lolote kuhusu suala hilo kwa sababu bado ana mkataba na Klabu ya Yanga.
KIUNGO wa Klabu ya Yanga, Mukoko Tonombe ambaye amekuwa akitajwa kuingia kwenye rada za Klabu ya Kaizer Chiefs amesema kuwa kwa sasa hajui jambo lolote kuhusu suala hilo kwa sababu bado ana mkataba na Klabu ya Yanga.