MTUPIAJI wa bao la KMC wakati wakilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Yanga Uwanja wa Mkapa David Bryson anasema kuwa haikuwa bahati yao kupata ushindi licha ya kupambana mbele ya vinara hao wa ligi
MTUPIAJI wa bao la KMC wakati wakilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Yanga Uwanja wa Mkapa David Bryson anasema kuwa haikuwa bahati yao kupata ushindi licha ya kupambana mbele ya vinara hao wa ligi