ZIKIWA zimeenea tetesi kuhusu mwekezezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji kurudi kuwekeza katika kikosi hicho tena uongozi wa Yanga umesema kuwa hakuna tatizo ikiwa atahitaji kurudi arudi tu wanamkaribisha.
ZIKIWA zimeenea tetesi kuhusu mwekezezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji kurudi kuwekeza katika kikosi hicho tena uongozi wa Yanga umesema kuwa hakuna tatizo ikiwa atahitaji kurudi arudi tu wanamkaribisha.