UWANJA wa Kambarage, Shinyanga
Dakika ya 42 Kiango anapelekq mashambulizi Simba
Dakika ya 38 Chikwende anachezewa faulo
Dakika ya 37, Bwalya anafanya jaribio linakwenda nje kidogo ya lango
Dakika ya 36, Chikwende anacheza faulo kwa nyota wa Mwadui FC
Dakika ya 34, Chama anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 33, Chama anacheza faulo kwa nyota wa Mwadui
Dakika ya 31, Mbisa anaokoa faulo iliyopigwa na Bwalya
Dakika ya 29 Kagere anachezewa faulo
Dakika ya 28, Simba wanapata kona ya tatu inaokolewa na Uhuru Seleman
Dakika ya 27,Chikwende anacheza faulo
Dakika ya 23 Bwalya anamwaga maji yanakwenda nje
Dakika ya 21 Mbise anaokoa hatari
Dakika ya 20, Mwadui wanapata kona haileti matunda
Dakika ya 19 Uhuru anapeleka mashambulizi Simba
Dakika ya 15 Simba wanapeleka mashambulizi Mwadui
Dakika ya 12 Chikwende anaotea
Dakika ya 11 Mbise anatoka kuokoa majalo anakosa na Simba nao wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 10 mchezaji wa Mwadui FC anapewa huduma ya Kwanza
Dakika ya 9, Chama anapoka moira mikononi mwa Mbise, mwamuzi anaanua iwe faulo
Dakika ya 7 Zimbwe anarudisha pasi ya nyuma kwa Onyango
Dakika ya 5, Chikwende anacheza faulo
Dakika ya 4, Chama anapiga kona ya Kwanza kwa Simba
Dakika ya 2 Chama anafanya jaribio linaokolewa na Mbisa
Kipa wa Mwadui FC alipewa muda wa kubadili jezi kwa kuwa alivaa jezi inayofanana na Simba.