Home news KAMATI YA MASAA 72 YATOA TAARIFA KUHUSU SIMBA V YANGA news KAMATI YA MASAA 72 YATOA TAARIFA KUHUSU SIMBA V YANGA By admin - May 12, 2021 0 TAARIFA kutoka Kamati ya Masaa 72 ambayo ilikaa kujadilikuhusu mienendo ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Ligi Daraja la Kwanza. Pia imetoa taarifa kuhusu mechi ya Simba v Yanga, iliyopaswa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 8, Uwanja wa Mkapa.