Yanga SC
VIDEO: DAUD YANGA APIGA HESABU KUSHTAKI KISA KUYEYUKA KWA MECHI YA SIMBA V YANGA
DAUD Yanga, shabiki wa Yanga amesema kuwa kuyeyuka kwa mechi ya Simba na Yanga Mei 8 kulimsababisha ayeyushe jumla ya laki nne kutokana na kuwekeza gharama kubwa na mwisho wa siku waliambulia patupu na anahitaji alipwe pesa zake.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.