KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoingia kambini Juni 5, kujiandaana mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi:-
Aishi Manula wa Simba
Metacha Mnata wa Yanga
Juma Kaseja wa KMC
Shomari Kapombe wa Simba
Israel Mwenda wa KMC
Mohamed Hussein wa Simba
Edward Manyama wa Ruvu Shooting
Erasto Nyoni wa Simba
Bakari Nondo wa Yanga
Kened Juma wa Simba
Dickson Job wa Yanga
Nickson Kibababage wa Youssoufia FC ya Morocco
Simon Msuva wa Waydad AC ya Morrocco
Hassan Dilunga wa Simba
Mzamiru Yassin wa Simba
Fei Toto wa Yanga
Salum Abubakhari wa Azam FC
Braison Nkulula wa Azam FC
Idd Nado wa Azam FC
Mbwana Samatta wa Fenerbahce FC
John Bocco wa Simba
Abdul Suleiman wa Coastal Union
Ayoub Lyanga wa Azam
Denis Kibu wa Mbeya City
Meschack Abraham wa Gwambina
Novatus Dismas wa Maccabi Tel Aviv
Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar