video
VIDEO: MZEE MPILI USO KWA USO NA INJINIA, MECHI DHIDI YA SIMBA WANA IMANI YA KUSHINDA
MZEE Mpili,Mwanachama wa Yanga amekutana na Injinia Hersi Said ambaye ni Makamu Mwenyekiti katika masuala ya Usajili ndani ya Yanga, kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Julai 3, Mzee Mpili amesema kuwa ana watu na wana amini kwamba watashinda mchezo huo.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.