Dakika ya 49 Manula anaokoa shuti la Banda
Lyanga Ayoub anaingia, Mzamiru Yassin akichukua nafasi ya Mudhathir
Kipindi cha pili
Mapumziko
Zimeongezwa dakika 2
Dakika ya 45 Bocco anafanya jaribio linaokolewa
Dakika ya 44 Mhilu anapeleka mashambulizi ndani ya Malawi
Dakika ya 27 Mhango anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 24 Nyoni anapeleka mashambulizi Malawi
Dakika ya 22 Peter Banda anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 20 Fei Toto anapokwa mpira
Dakika ya 18 Manula anaanzisha mashambulizi
Dakika ya 17 Malawi wanapata kona inapigwa na Banda
Uwanja wa Mkapa
Dakika ya 13 Fei Toto anajaza majalo eneo la Malawi
Dakika ya 10 Malawi wanapeleka mashambulizi
Dakika ya 2 Bocco anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Mchezo wa kirafiki ulio katika kalenda ya Fifa
Tanzania 0-0 Malawi
Dakika ya 15