SWEDI Mkwabi, aliyekuwa mwenyekiti wa Simba amesema kuwa sababu ya kumchukulia fomu, mgombea wa Uraisi wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), Wallace Karia ni kutokana na kuwa na majukumu mengine kanda ya ziwa.
SWEDI Mkwabi, aliyekuwa mwenyekiti wa Simba amesema kuwa sababu ya kumchukulia fomu, mgombea wa Uraisi wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), Wallace Karia ni kutokana na kuwa na majukumu mengine kanda ya ziwa.