Azam FC
HUU HAPA USAJILI KAMILI WA AZAM MPAKA SASA
KLABU ya Azam inaendelea kuonyesha makucha yake katika dirisha la usajili wa wachezaji wapya ambapo leo wamemtangaza rasmi, Kenneth Muguna na kufanya idadi ya nyota wapya waliosajiliwa na klabu hiyo mpaka sasa kufikia wanne.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.