Simba SC

UJUMBE WA HAJI MANARA BAADA YA KUBWAGA MANYANGA SIMBA

admin July 28, 2021 2:47 pm


 ALIYEKUWA Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara ameandika haya muda mchache baada ya Simba kutoa barua kuwa wameachana nae rasmi:

“Kila tunapomaliza mechi yoyote ile ya Simba, neno langu la kwanza baada ya matokeo yoyote yale ni Alhamdulillah.

 

“Kwa wanaofuatilia page hii wanatambua hilo. Kwangu neno hili ndio msamiati ninauotumia mara nyingi zaidi na hufanya hivi kwa kila jambo, liwe jema au baya. Yes neno langu ni moja tu.

AL-HAMDULILLAH

PAUL POGBA MASHABIKI WA PSG WAMKATAA WAMOROCCO, WASAUZ WAPIGANA VIKUMBO KWA CHAMA, SIMBA WAFUNGUKA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply