MZARAMO wa Simba amesema kuwa hawezi kuipigia makofi Yanga kwa ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wao waliocheza Uwanja wa Mkapa jana Julai 3 huku akiweka wazi kuwa kuna wachezaji ambao sio waaminifu kwenye mpira ambao wanatumiwa
MZARAMO wa Simba amesema kuwa hawezi kuipigia makofi Yanga kwa ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wao waliocheza Uwanja wa Mkapa jana Julai 3 huku akiweka wazi kuwa kuna wachezaji ambao sio waaminifu kwenye mpira ambao wanatumiwa