video

WAZIR JUNIOR:NITAENDELEA KUPAMBANA, HATUKUTARAJIA MATOKEO

admin August 4, 2021 7:43 pm

NYOTA wa Yanga, Wazir Junior amesema kuwa matokeo ya leo ilikuwa bahati mbaya kwao kwa kuwa wamepata matokeo mabaya ambayo walikuwa hawatarajii. Amesema kuwa wana amini kwamba watafanya vizuri katika mchezo wao wa mwisho uliobaki


Mchezo wao ujao ni dhidi ya Express ambao ni vinara wa kundi A wakiwa na pointi nne hivyo Yanga inapaswa kushinda ili kutinga hatua inayofuata.

 

YANGA YATOSHANA NGUVU NA ATLABARA UWANJA WA MKAPA VIDEO:YANGA KUMSHUSHA KIPA HUYU BONGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply