video
VIDEO:KAPOMBE ATAJA SABABU YA SIMBA KUFANYA VIZURI, AFUNGUKIA KAMBI YA MOROCCO
BEKI wa Klabu ya Simba, Shomari Kapombe amesema kuwa wanaamini kwamba Mungu akileta kheri msimu ujao watafanya vizuri, kuhusu kilichowafanya wafanye vizuri ni mapambano pamoja na ushirikiano.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.