Home video VIDEO:SIMBA YAMTAMBULISHA NYOTA MPYA

VIDEO:SIMBA YAMTAMBULISHA NYOTA MPYA

LEO kikosi cha Simba kimemtambulisha nyota mpya kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22 ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa ni winga mwenye uwezo wa kucheza winga ya kulia na ile ya kushoto ni raia wa Malawi.

 

SOMA NA HII  VIDEO: MZEE WA UPOPOLO AKASIRIKA ISHU YA KISINDA KUUZWA, ATUPA DONGO ISHU YA USAJILI