video

VIDEO:TAZAMA NAMNA SIMBA WALIVYOWASILI DAR KUTOKA MOROCCO

admin August 29, 2021 6:43 pm

KIKOSI cha Simba leo Agosti 29 kimereja Tanzania baada ya kukamilisha mpango wa kwanza wa kambi nchini Morocco ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2021/22.


 Baada ya kambi ya Simba kukamilika nchini Morocco kuna mpango wa kambi ya pili itakayotangazwa baada ya wachezaji waliopo kwenye timu za taifa kukamilisha majukumu yao. 

 

MZEE WA KUWAJAZA AANZA KAZI KWA MKAPA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply