MSHAMBULIAJI mzawa ndani ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa kwa sasa hafikirii kuondoka ndani ya kikosi hicho licha ya tetesi kueleza kuwa anaweza kuondoka msimu ujao kutokana na kukosa nafasi kikosi cha kwanza.
MSHAMBULIAJI mzawa ndani ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa kwa sasa hafikirii kuondoka ndani ya kikosi hicho licha ya tetesi kueleza kuwa anaweza kuondoka msimu ujao kutokana na kukosa nafasi kikosi cha kwanza.