KMC FC

MIRAJ ATHUMAN MALI YA KMC

admin September 5, 2021 10:43 am


KIUNGO mshambuliaji Miraj Athuman ambaye alikuwa nyota wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes sasa ni rasmi kuwa atakuwa mali ya KMC.

Nyota huyo hakuwa kwenye nafasi nzuri msimu uliopita kutokana na kukosa nafasi kikosi cha kwanza pia majeraha ya mara kwa mara ilikuwa sababu ya nyota huyo kujenga ushkaji na benchi.

Anaungana na Faroukh Shikalo ambaye huyu alikuwa anakipiga Yanga msimu uliopita na kwa sasa atakuwa ndani ya KMC.

Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa ni mapendekezo ya benchi la ufundi usajili wao.

STARS WAIPIGIA HESABU MADAGASCAR SIMBA WAFUNGUKIA ISHU YA KAGERE KUSEPA BONGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply