news

MAMBO YAMEANZA KWA MKAPA, SIMBA V YANGA

admin September 25, 2021 10:43 am


LEO Uwanja wa Mkapa saa 11:00 Jioni kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka kati ya Simba v Yanga.

Mchezo wa leo unasubiriwa kwa shauku na wadau ambapo tayari jina la mwamuzi wa kati pamoja na wasimamizi wengine wa mchezo huo ipo wazi.

Ni Ramadhan Kayoko huyu atakuwa mwamuzi wa kati na katika masuala ya Waandishi wa Habari ni Cliford Ndimbo yeye atasimamia masuala hayo.

Kwa sasa mashabiki wameanza kujitokeza Uwanja wa Mkapa ambapo Wizara ya Afya ina kampeni yake ya kuwahimiza Watanzania kuchanjwa kwa hiyari kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

ORODHA YA KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHOIBUKIA TANGA JEMBE JIPYA YANGA LAPANIA KUFANYA KWELI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply