KHALID Aucho kiungo wa Yanga amesema kuwa ameibuka ndani ya Yanga kwa ajili ya kufanya ushindani na kushinda kwao Ngao ya Jamii ni furaha hivyo baada ya kazi kuisha wanapelekea nguvu kubwa kwenye ligi.
KHALID Aucho kiungo wa Yanga amesema kuwa ameibuka ndani ya Yanga kwa ajili ya kufanya ushindani na kushinda kwao Ngao ya Jamii ni furaha hivyo baada ya kazi kuisha wanapelekea nguvu kubwa kwenye ligi.