HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Hanspope Zakaria ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba aligomea masuala ya uganga na aliweza kufanikiwa kwa kumuamini Mungu.
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Hanspope Zakaria ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba aligomea masuala ya uganga na aliweza kufanikiwa kwa kumuamini Mungu.