SHABIKI wa Yanga, Jimmy Kindoki ameweka wazi kuwa ameweke historia kupanda ndege ya Air Bus huku akirejesha shukrani nyingi kwa GSM kwa alichokifanya. Kuelekea mechi hiyo ya kimataifa inayotarajiwa kuchezwa nchini Nigeria ameweka wazi kuwa ni muhimu kila mmoja kuipambania Yanga nje ya uwanja.