KIKOSI cha Azam FC, kilichosafiri leo Jumamosi alfajiri kwa ajili ya mechi mbili za ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) dhidi ya Coastal Union na Polisi Tanzania.
Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Septemba 27, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
KIKOSI cha Azam FC, kilichosafiri leo Jumamosi alfajiri kwa ajili ya mechi mbili za ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) dhidi ya Coastal Union na Polisi Tanzania.
Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Septemba 27, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.