SHABIKI wa Yanga amesema kuwa amefurahi kuona timu hiyo imelazimisha sare ya bila kufungana na Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana Uwanja wa Karume, Mara.
SHABIKI wa Yanga amesema kuwa amefurahi kuona timu hiyo imelazimisha sare ya bila kufungana na Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana Uwanja wa Karume, Mara.