UWANJA wa Jamhuri,Dodoma Mama Manji anabainisha kuwa uzi wa Yanga unatoka jambo ambalo anamshukuru Mungu huku akitaja sababu kuwa ni usajili pamoja na wachezaji wazuri ambao wapo pamoja na kupata matokeo mazuri kwenye mechi zao.
UWANJA wa Jamhuri,Dodoma Mama Manji anabainisha kuwa uzi wa Yanga unatoka jambo ambalo anamshukuru Mungu huku akitaja sababu kuwa ni usajili pamoja na wachezaji wazuri ambao wapo pamoja na kupata matokeo mazuri kwenye mechi zao.